Papai za Kisasa za mda mfupi
Kilimanjaro
Tunauza miche ya papai (Malkia F1). Hii ni mipapai ya kisasa toka Taiwan.
Mipapai hii uweka matunda ikiwa na urefu usiozidi mita moja toka ardhini.
Kila mpapai ubeba matunda yasiyopungua 85, mpaka 110. Mapapai haya nyama yake ni nyekundu na ni matamu...
Jamani hayo nimakisio ya juu kabisa, Nafikiri ni vema kwaanayeweza kulima akailima maana hata kama hutapata hiyo milioni 100 unaweza kupata angalau milion arubaini ambapo bado ni faida kubwa tatizo tumekuwa watu wakuwa mtandaoni sana bila kuingia field tujaribu kuwekeza na kufanya utafiti...
Papai hizi ni papai za mda mfupi miezi sita tu unavuna, papai hizi ni tamu na nyekundu ndani ina zaa mpaka papai 105,
Soko lake ni kubwa sanaa,
Eka moja inauwezo wakukupa mpaka milion 100.
Tufanye hesabu kidogo:
1 acre =1000/1200 miche ya papai
kila mti wa mpapai unazaa 105
kila papai ni Tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.