Dar es Salaam 2006. Afisa akitazama ndizi na damu nyingi chini baada ya tukio la ujambazi.
Majambazi waliiba kwenye duka la kubadilishia fedha la Macsoms-Posta, majambazi walikuja na kuigiza kama wauza ndizi, kwanza walimlima shaba mlinzi, mlinzi chali.
Kisha wakatumia dk 10 tu kukwapua...
SOma uzi vizuri we Ponjoro.
Waislam wamenyooka sana kwenye mambo yao. Vitu vyao wanatia mkazo sana tofauti na sisi tunaoiga iga kwenye uswahili hatupo kwenye uzungu hatupo kazi ni majungu na unafiki.
Tunapenda sana kula ndio maaba funga yetu haieleweki mbele wala nyuma.
1. Dini zetu mpaka sasa hatujui funga ni lazima au hiyari
2. Dini zetu mpaka sasa hatujui tunafungafunga vipi?
3. Dini zetu mpaka sasa hatujui hii ibada inaanza lini na inatamatika lini na kwa utaratibu gani
4. Dini zetu mpaka sasa hatujui hata ibada ya funga imelekezwa vipi katika vitabu vipi...
Mkorea mwanetu wa The Gunners wazee wa phase 4,,, oya hao jamaa wanakuwa na vimiguu vya kuku,, inabidi uwawahi umpige kata funua akose hata nguvu ya kumeza mate.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.