umeanza na pointi ya hoja ya nguvu lakini ulivyoendelea mbele zaidi ulitumia guvu ya hoja hivyo imegeuka kuwa mtazamo tena ya hayawani hvo hatuwezi kujadili mtazamo kwa kuwa kila kitu unadhani
mimi nadhani muda huu wa kiama watu kuhamia huku kwetu tutumie kuwafukuza wale ndumila kuwili wote na nimekuwa wa kwanza kutekeleza azma hiyo nilikuwa na watu kama shibuda huwezi amini kaondoka moja wamekuja ishirini
ila tusibishane naye maana watu kama hawa tunazidi kumpa umaarufu cha kufanya ni barua ya karipio kali si kumwomba radhi tusipoteze muda kumvalisha mhuni suti maana atafunga mlegezo tu
hapana elewa mambo alitakiwa atoe taarifa za aprm co za kugombea urais kwani si mahala pake halafu jimboni kwake amefanya nini cha kumpa kiburi na kujiamini kuwa anapendwa kiasi cha kutangaza nia ya urais huu si wakati wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.