Ongezea hapo mkuu Kwa wanaoanza kujenga,wakumbuke hata kutumia DPC (Ngozi ulaya),kabla ya kulaza tofali, then wakati wa plaster ni muhimu kutumia waterproof materials kuzuia unyevu unaoweza haribu rangi
Mkanda wa msingi unasaidia pia kuzuia nyufa zinazotoka kwenye Msingi zisikate mpaka juu.
Otherwise zikitokea nyufa namna ya kuzitibu inakuwa ngumu .na pia kasi ya ungezekaji wa width ya ufa ni kubwa as time goes on in case nyufa zimeanza.
Dunia inakabiliwa na movement nyingi sana chini ambazo...
Hoja ya msingi ni ukuta upi? Na maana ya kuutoa kinatokea nini?
Ukiachana na idea ya open kitchen ambayo si Kila mtu anaipenda.
May be kuwe hakuna privacy .ila sio lazima Kila aliyepo sebuleni ajue unanaingia chumbani au chooni ni design za kizamani .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.