Ni kweli, Mungu ndiye mwenye mamlaka yote, tena si duniani tu bali mpaka mbinguni, so huwezi linganisha Mungu na shetani.
Labda ndoja nikupe historia kidogo, shetani alikuwa malaika wa Mungu, tena alikuwa anaongoza malaika wengine, ila baada ya muda akapata mawazo mabaya kwamba kwa nini naye...