Well, Kitabu cha Timothy i think sijajua ukurasa wa ngapi mambo mengi nasahau but Kuna kitu kinasema "Money is the root of all evil" hapo tunapata picha kwamba pasingekuwepo pesa basi mambo mengi ya kiovu na kutisha yangekua ni stori tu.
Hapo Zamani wazee wetu walikua wanatumia uchawi kama...
Sorry for interrupted mkuu. Hivi Kwanza unajua pesa ni roho(spirit) ? that why ukiifanyia vibaya inakukataa na ukiifanyia vema inakushika.
Utasoma vitabu sana na mafunzo yote Ila ingia kwenye field uone kama utapata hizo pesa pasipo kua Darkside. Ipo hivi wewe unaweza Kua mwema kabisa na...
Wewe ujazunguka Kwa waganga Bali Ni matapeli. Kingine ndugu yangu sio kila binadamu ana karama au kipawa cha kumiliki pesa na mali. Vile tu Hao waganga wako hwakuambii ukweli maana watakosa pa Kula.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.