Recent content by Mordecai Kilosa

  1. M

    Nifanyeje wanangu wawe na akili nyingi darasani

    Maombi kwa Mungu kwa kuomba rehema kwa kuwa ni jambo la kimungu na sio la kimwili zaidi ni kiroho Mithali 3:5-6 Mtumaini Mungu wako. Wapeleke kwa wachungaji waombee ukishindwa na mkono wa Mungu utawafungua.
  2. M

    Nifanyeje wanangu wawe na akili nyingi darasani

    Watoto wadogo Huwa wana kawaida ya ku-adapt mazingira yaliyowazunguka endapo familia ukiwa na ya wasomi au la. Hivyo tabia ya kusoma kwa mtoto Huwa inajengwa nyumbani na inasimamiwa na watu wa nyumbani hasa wazazi. Hili ni jambo muhimu Sana wadau tujue kama watoto wetu hatuwasimamii sisi...
  3. M

    Umewahi kusikia dhana gani kuhusu hali ya Ujauzito ambayo ungependa kufahamu undani wake?

    Ndugu yangu mmoja alipata ujauzito akaishi nao vizuri lakini kwa bahati MBAYA kwake ulikua n mimba ya kwanza hivyo hakuwa anacheki mara kwa mara kama mtoto akicheza. Hivyo last time Kabla ya kujifungua alihisikia vibaya na akapelekwa kliniki lakini muda aliokuwa anajisikia vibaya kumbe mtoto...
  4. M

    SoC04 Watoto wa Kitanzania wenye mabadiliko

    Nchi ya Tanzania ni nchi iliyobarikiwa Sana kwa rasilimali nyingi na yenye watu wenye wenye moyo na kuwajibika. Nchi yetu iliweza kupambana na kuondoa ukoloni na pia kuingiza sera ya ujamaa na kujitegemea. Katika hili tunajivunia kuwa na viongozi waliokua na maono juu ya nchi yao na kuwa na...
Back
Top Bottom