NINA D MBILI NA C MOJA NILIMALIZA 2014 ninashindwa kuaply wanasema inatakiwa c2 sasa na ili tangazo cjaelewa inakuaje apo
hawa wanaokomaa kwamba ni lazima uwe na 2D's ndo uende chuo inamaana hawakuona hii Public Resolution notice ya tarehe 16 nini?, maana kuna mtu kakomaa huko juu kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.