Hivi Pascal njaa imekuwa kali zaidi nn maana post yako ya mapema hivi leo ulizungumzia hali ilivyo tete hadi umehama ktk jengo ulilopanga awali na kupunguza wafanyakazi sasa hivi unaleta ngonjera zingine acha kujaza server bana
Tatizo waislamu kitu kidogo wamefura sijui kwa sababu dini ilienezwa kwa upanga! Muache Mungu awapiganie ila siyo nyie mumpiganie mungu kwani dini haitaji msuli mkubwa kuitetea
Hizi tabia zenu za kuchagua mtu kwa lengo la kukomesha upande flani haitaicha Taifa hili salama kwan badala ya kutumia ubongo kufanya maamuzi tunatumia moyo..anyway uzuri life linapokaza haichagui bavicha au uvccm
Kukosoa ni kukosoa tuu haijalishi umekosea kwa namna gani ila kwa sababu sisi ni waafrica kukosoa sio utamaduni wetu tunawachagulia wakosoaji wetu namna ya kukosoa kitu ambacho ni ujinga kwa kiwango cha std gauge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.