navikubali vitabu vya huyu jamaa anaitwa Dotto Nshimba,; Away from home pamoja na Lost in lies,nimesoma review zake nimekipenda sanaa,ingawa nashindwa namna ya kukipata,inaonekana ndio aliyeandika kitabu cha FUNDAMENTALS OF HISTORY
Imenivutia hii poem,naomba uniambie inapatikana kwenye anthology gani na jina la mtunzi wa hiyo anthology ili kama ntaweza niitafute. I like poetry especially African poetry but it seems most of the people care less about arts
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.