Recent content by Moonlit Foyer

  1. M

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    kweli kbs mwenyewe nimeanza nikajikuta navutiwa sana,now niko nasoma "rich dad's guide to investing(rich dad part 3)"
  2. M

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    navikubali vitabu vya huyu jamaa anaitwa Dotto Nshimba,; Away from home pamoja na Lost in lies,nimesoma review zake nimekipenda sanaa,ingawa nashindwa namna ya kukipata,inaonekana ndio aliyeandika kitabu cha FUNDAMENTALS OF HISTORY
  3. M

    A beautiful poem ever!

    Imenivutia hii poem,naomba uniambie inapatikana kwenye anthology gani na jina la mtunzi wa hiyo anthology ili kama ntaweza niitafute. I like poetry especially African poetry but it seems most of the people care less about arts
Back
Top Bottom