Recent content by moniquesemakula

  1. M

    Yaliyojiri Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Arusha mjini, Lema atangazwa mshindi

    Camander Lema may God bless u akupe afya nnjema ulisongeshe bungeni nakupenda name kukukubali sana
  2. M

    Mbowe hafai kuwa KUB

    Anafaa sana ni wivu tu unakusumbuwa kwani hao ccm wanafaa?Mboe a man of full comfidency
  3. M

    Mateso yetu na Uchungu wetu ni mafunzo kwetu

    Lema ur a man real man wewe ni mbunge tayari unasubiri kuapishwa tunakupenda kwa changamoto zako bungeni unavyojiamini unasifa nyingi ambazo ni ngumu kunyimwa kura
  4. M

    Wakubwa na wanawe!

    Watarisishana sana
  5. M

    UKAWA wamepaniki baada ya kuona hii picha

    Kwa kipi hasa huko kucheka au?
  6. M

    Natafuta nyumba ya kupanga Arusha

    Utapata kuna nyumba mpya na ya kisasa il a sio hayo maeneo unayo yataka wewe
  7. M

    Kuanguka kwa Kafulila, Ole Sendeka, Wenje na sakata la ESCROW Vs kurudi kwa Muhongo na Tibaijuka

    Kweli hii ndio tz katika ubora wao alafu mtalalamika maisha magumu na mwaka huu mtaisoma number kweli
  8. M

    Tanganyika huzuni tele kwetu watanganyika

    Naumwa utawala was mabavu
  9. M

    Kwa namna hii Mabadiliko Tanzania ni ndoto

    Tatizo wala sio slaa tatizo ni wa tz hawajielewi masikini wengi il a nivipofu
  10. M

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Thanx God maana hivi vichwa vilikuwa muhimu sana
  11. M

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Yaani nikisikia hat a jina LA huyu eti Dr nasikia vibaya watu wa kyela wasimchague kabisa anatabia za kike mshamba huyu
  12. M

    Kwa hali ya jimbo la Vunjo, Mrema ameshaukosa ubunge

    Mbatia ni mwanasiasa wa kiwango kikubwa sana mwenye hofu ya mungu wishing him all the best
Back
Top Bottom