Recent content by monges

  1. monges

    Rais Magufuli afanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Juliana Shonza aula, Maghembe out..

    Unashangaa Raisi kumteua katibu wa bunge, mbona hujashangaa jaji mkuu kuteuliwa na Raisi?
  2. monges

    CHADEMA wathibitisha fedha za Bunge zilitumwa tangu September 20, wamedai hazikuwa na maelezo

    Hawa chadema wamezoea kukurupuka sana na kukimbilia vyombo vya habari, nadhani walitaka kuzipiga.
  3. monges

    CHADEMA inavyonufaika na watu smart

    Naona mmeamua kujifariji, ni jambo jema, naamini CHADEMA ya jf ni hatari sana, ila kiuhalisia acha linganisha CHADEMA na CCM, CCM ni chama ambacho kina taratibu kama chama, acha CHADEMA ipo kama kagenge flani kakupiga kelele.
  4. monges

    Ulishindwa kuendeleza Chato miaka 20 uje uweze kuendeleza Tanzania miaka 5?

    Tumsamehe kwani hajui atendalo. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. monges

    Ni wakati wa Mbowe kuwaachia akina Heche, Lema uenyekiti

    Mtaangaika sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. monges

    Godbless Lema: Spika Ndugai ulitibiwa na pesa ya Bunge na Serikali, lakini unakwamisha Lissu kutibiwa kwa pesa ya Bunge

    Naona wameishiwa hoja. Bunge ndo sehemu pekee ya kutoa mapovu yao, wao wanalikimbia bunge na kuropoka nje ya bunge, wao waliamua kumtibu mgonjwa kifamilia zaidi na walikuwa wanafahamu taratibu za bunge kuhudumia wabunge wao, sasa Lema povu la nn kwa Spika? na kama kuna uhitaji wa pesa ni vema...
  7. monges

    Hivi Makinikia ndo tumepigwa Knock out au mbona majigambo siyasikii kuwashinda wale wanaume? Au ni Siri

    Hiyo misifa na majigambo, yako upande wa pili. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. monges

    Umaarufu wa rais Magufuli umeshuka na wa Tundu Lissu umepaa kwa kiasi kikubwa

    Kwa kweli wanaangaika sana, unajua mtu akikosa hoja ni tatizo kubwa sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. monges

    Sidhani kama CCM ni chama cha siasa

    Ni chama tawala. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. monges

    Hivi Makinikia ndo tumepigwa Knock out au mbona majigambo siyasikii kuwashinda wale wanaume? Au ni Siri

    Narudia, ndo maana nimekwambia uelewa wako ni mdogo,na tatizo kubwa ni ww kuwekeza akili yako kwa watu fulani ili wakujazie ujinga ndani yake, na ndo maana unatoa matusi, kwani wizara ya katiba na sheria upajui ili ukamuulize Prof.Kabudi? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. monges

    Hivi Makinikia ndo tumepigwa Knock out au mbona majigambo siyasikii kuwashinda wale wanaume? Au ni Siri

    Narudia kusema huo ni uelewa mdogo, kwani ww una haraka ya kwenda wapi? aliyesema ni mchakato naamini ipo siku atakwambia mchakato umefikia wapi, ni swala la ww kusubilia. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. monges

    Hivi Makinikia ndo tumepigwa Knock out au mbona majigambo siyasikii kuwashinda wale wanaume? Au ni Siri

    Ww unasumbuliwa na uelewa mdogo. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. monges

    Hivi Makinikia ndo tumepigwa Knock out au mbona majigambo siyasikii kuwashinda wale wanaume? Au ni Siri

    Serikali ikwambie nini? cha msingi unatakiwa kufanya kazi, waziri wa katiba na sheria alisema kuwa huo ni mchakato na mchakato unachukua muda sio siku2 au 3 kwa uelewa wako. wakati waziri anaongea ulikuwa umeziba masikio na macho? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. monges

    Wanachama zaidi ya 860 wa CHADEMA wahamia CCM Arusha leo tarehe 02/09/2017

    Kimsingi wamechoka sana, kinachofanyika ni kukomaa hadi kieleweke naamini kufikia2020 watakuwa wamebakia wachache sna tena wale wenye vichwa vigumu kama mpingo. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. monges

    Wakati Mahakama ya juu ya Kenya ikifuta ushindi wa Kenyatta huku kwetu kuna mhimili mmoja umechimbiwa chini sana

    Inawezekana ww ndo unajifanya chiz Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom