Recent content by Momumo popapo

  1. M

    BBC Swahili yasema mazingira ya uwekezaji Tanzania ni Magumu, wafungua ofisi Kenya

    Waende tu wasi tuzingue Kenya ina urasimu mkubwa sana kwa wawekezaji wa kigeni wakuulize Rostam Aziz aliondoka TANZANIA kwa mbwembwe kufika kule hana hamu
  2. M

    Kwani Makonda alitenda dhambi ngapi? Mbona anataka kuombewa na kila mtu?

    Vipi walio kwenda hija mtu na dakitari wake walifanya dhambi gani?
  3. M

    Taifa liache unafiki. Hivi uovu wa Gekul unafikia hata robo ya ule wa Makonda?

    Lisu ni mshenzi tu naitwa mara. Nyingi polisi akafungue kesi haendi yuko bize mitandaoni
  4. M

    Waziri Makamba acha kuhadaa watu

    Mungu awajalie mnao mfuatilia huyo mtu wengine tuliwasha tv tulimuona halaka tuna badili channel
  5. M

    Bandari, ardhi, misitu na maliasili zetu, ni Mali ya URITHI, hazitauzwa wala kukodishwa kwa wageni, kataa wahuni

    Watanzania wakishiba ugali inatosha hayo mengine tuna waachia wasomi
  6. M

    Sugu asithubutu kuchukua fomu kushindana na Dkt. Tulia Mbeya mjini, hakuna mwenye akili timamu atakayempigia kura tena

    Sugu ni mvuta bangi mimi mwenyewe nimewahi vuta naye hivi hivi akiwa mbunge Huku mwambene akipita wahuni wana mkaushia akitoa mkono kusalimia tuna ishia ku mkodolea macho kodo Uta msiki poa majita tuta yajenge . Mfyuuuuuuu
  7. M

    Je, ni kweli January Makamba na Maharage Chande waliamuru maji yafunguliwe na kumwagika kwenye bwawa la Mtera?

    Hakuja wahi kuwa na ukame wa kukausha mabwana Tanzania ila ni uhuni mkongwe
  8. M

    Je, ni Rais gani aliyependwa kuliko wote Tanzania?

    Mkapa ndiye kiongozi bora zaidi Tanzania misingi imara ya uchumi ndio inayo tumika hadi leo hii Ila genge la wahuni wanemchafua sana mzee wa watu
Back
Top Bottom