Makonda uliwahatamisha watu kusitisha matumizi ya shisha sasa naona shisha inaenda kuhitimisha kazi yako......Sasa unawatuhumu watumishi wenzako ambao ndio wasaidizi wako wakubwa katka kupambana na shisha.......Kuna tatizo kwa Makonda
Hahahaaaaa kupatwa kwa matamkoooo.... Mtatiro hakuna mbadala wa Amani ndugu yangu..... Amani sio mbona useme leo unakula tembele kesho unabadili unakula mchicha.... NO zima huo moto mliouwasha kwanza kwenye chama chako wewe na Maalim
Dc mbona wewe umeajiriwa acha kutuchezea shere.... Ninji ndio mkitumbuliwa mnalia kuonewa kama ajira ni utumwa.... mbona wewe umeukubali huo utumwa? Basi acha udc uwe huru kwa sababu umesema ajira ni utumwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.