ni mume wa ndoa
ajanifukuza niliondoka baada ya kushindwa kuvumilia mateso
sijatafuta ushauri wa kisheria sikutaka mlolongo mrefu nilitaka tukubaliane tu
nilitaka at least kwa mwanzo wakati mambo yangu hayajakaa sawa anipatie pesa ya kutosha kidogo angalau niongezee mtaji hadi nitakapo simama mwenyewe na kuweza kumtunza mtoto vizur ,maana nimesema nimeondoka nikiwa sina chochote vyote nimemwachia,
Jamani nimetengana na mume wangu baada ya kuona vipigo vimezidi ikabidi niondoke niende kwa kaka angu ambaye naye anafamilia yake.
Nilikuwa nafanya kazi katika kampuni fulani lakini mume aliniachisha kutokana kazi iyo kuwa na shift za usiku na nilikuwa na mtoto mdogo,kwa sasa nilikuwa...
Jamani wanasheria mume ameficha cheti cha ndoa naisi cheti amekichana VIP naweza pata kingine ndoa ilifungwa bomani ,ili niweze fatilia talaka rasmi na matunzo ya mtoto,nimebaki sins ushahid in ndoa ya miaka 4
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.