Recent content by molecule2004

  1. M

    JamiiForums Tanzania Simu kali: Usijiulize tena simu mpya na used unapata wapi zipo kwetu Havikpro genuine phones Kariakoo

    Wadau wote nawakaribisha kwa manunuzi ya simu na vifaa vya simu na laptop kutoka dukani kwetu utajipatia series mbalimbali za simu hizi SAMSUNG.PIXEL NA IPHONE NA NYINGINE NYINGI.PIA LAPTOP ZA KAZI ZOTE NA DESKTOP ZA NYUMBANI NA MAOFISINI ZIPO BRAND ZOTE Tunapatikana Kariakoo Dsm Huduma ya topup...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kufanya biashara za kuuza duka la Mangi naombeni ushauri

    Big brain.shukran sana🙏
  3. M

    JamiiForums Tanzania Boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki

    Ulikuwa huna haja yakureply 🙌
  4. M

    JamiiForums Tanzania Boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki

    Io biashara ya pull table haiwezi kukutoa ulipo🙌🙌 labda kama unatumia uganga
  5. M

    JamiiForums Tanzania Boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki

    Uo sio uwekezaji🙌🙌 ni chombeza yakuwavuta wateja kwenye uwekezaji wako kama vile bar,club,play stations n.k
  6. M

    JamiiForums Tanzania Boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki

    Kweli kuna kasheshe apa
  7. M

    JamiiForums Tanzania Boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki

    Huwa kwa kawaida anaepewa chombo anahitajika apeleke rejesho la shingapi lets say yupo dsm
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kufanya biashara za kuuza duka la Mangi naombeni ushauri

    Hakika yangekuwa hayalipi yasingekuwepo mtaani
  9. M

    JamiiForums Tanzania Boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki

    Leo nimekaa nikawa najiuliza biashara ya boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki wa bodaboda izo na huchukua muda gani kurudisha mtaji na kupata faida Embu wanaujua hii waweke comment hapa😁
Back
Top Bottom