Recent content by Moire

  1. M

    INAUZWA Feni Used- Like New inauzwa

    Aliyenitumia SMS anahitajii hii feni, tuwasikiane maana SMS uliyinitumia nimeifuta bahati mbaya, nimeshindwa kukutafuta.
  2. M

    Feni inauzwa

    Aliyenitumia SMS Jana anahitaji hii bidhaa, tuwasiliane maana SMS ukiyonitumia was accidentally deleted.
  3. M

    Feni inauzwa

    In namba 1, 2, na 3. Lakini zote ni Kali it like helicopter ndogo...
  4. M

    Feni inauzwa

    Take my number, kwa mawasiliano rahisi, 0717911014. Whatsap
  5. M

    Feni inauzwa

    Nicheki whatsap 0717911014
  6. M

    Feni inauzwa

    Kwa matumizi ya nyumbani, maana nyumbani vyumba space ni ndogo, bar, kanisani, ama kwenye kumbi huwa zinafungwa juu
  7. M

    Feni inauzwa

    Niliinunua kwa matumizi ya home, but nilipofika home nikagundua mimebugi, maana INA upepo ambao sio friendly kwa matumizi ya watu. So imekuwa haitumiki kwa muda sasa. Nahitaji kuiuza sasa
  8. M

    Feni inauzwa

    Hiyo bado upo chini chief.. Hii ni like new
  9. M

    Feni inauzwa

    Nauza feni yenye material ya chuma. Inafaa sana kwa wenye sehemu za kuonyeonyeshea Mpira, makabisani, bar na sehemu zenye mikusanyiko ya watu. Bei Tsh 90,000.
  10. M

    INAUZWA Feni Used- Like New inauzwa

    Promosheni fika 80
  11. M

    INAUZWA Feni Used- Like New inauzwa

    Inafaaa, but INA upepo mkali sana
  12. M

    INAUZWA Feni Used- Like New inauzwa

    Ukifika 80 nakuachia
  13. M

    INAUZWA Matairi Mapya Ya Bridgestone Yanauzwa

    Hiyo warranti ya miaka mitano noma sana. Life span ya tairi ni miaka minne, warranti inazidi life span. Ama ulimaanisha miezi mitano? Sina uhakika kama nikifunga hizo tairi kwenye gari zitadumu kipindi kimoja cha rais wa tanzania madarakani. Hebu fafanua vizuri.
  14. M

    Nahitaji FENI+TV Niko Dar

    Chukua hii kwa 100k
Back
Top Bottom