Niliinunua kwa matumizi ya home, but nilipofika home nikagundua mimebugi, maana INA upepo ambao sio friendly kwa matumizi ya watu. So imekuwa haitumiki kwa muda sasa. Nahitaji kuiuza sasa
Nauza feni yenye material ya chuma. Inafaa sana kwa wenye sehemu za kuonyeonyeshea Mpira, makabisani, bar na sehemu zenye mikusanyiko ya watu. Bei Tsh 90,000.
Hiyo warranti ya miaka mitano noma sana. Life span ya tairi ni miaka minne, warranti inazidi life span. Ama ulimaanisha miezi mitano? Sina uhakika kama nikifunga hizo tairi kwenye gari zitadumu kipindi kimoja cha rais wa tanzania madarakani. Hebu fafanua vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.