Asalam aleykum naomba nisaidie tuseme una million ishirini unataka kufanya biashara zanzibar to dar au dar to zanzibar utafanya biashara gani na italipa ?
Nina fremu yangu ya duka lakini sina mtaji na kukodisha sitaki kwa sababu pesa ndogo kukodisha, nafanya kazi lakini sina mtaji wa kulifunguwa.
Je Nikope?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.