Recent content by Mohammedy Al Hajji

  1. Mohammedy Al Hajji

    SoC02 Kujipambania kutatufanya tuondokane na umasikini

    Thamani ni Chakula, fedha ni namba huna uhakika nazo. Utajiri ni chakula, Walioamua kulima wakisema hawauzi chakula chao, sijui kama tutaweza kula hela. Chakula ndio utajiri kwa kuwa ni mfumo asilia wa kimungu. Hela sio utajiri hela ni mfumo wa namba ulioanzishwa na wasiokuwa na mali...
  2. Mohammedy Al Hajji

    Mfaranyaki

    poa sana mzee ngoja nimcheki
  3. Mohammedy Al Hajji

    Shekhe Suleiman Takadil

    daah kidogo naanza kumsoma Takadil maana naskia sababu ya harakati zake mpaka wengine wakamzaririsha kwa kumtenga na kumwita suleyman MTAKADIN aisee
  4. Mohammedy Al Hajji

    Shekhe Suleiman Takadil

    Hivi ilikuwaje habari ya mzee Shekhe Suleiman Takadil alikuwa na nafasi gani katika kupambania uhuru wa Tanganyika
  5. Mohammedy Al Hajji

    Mfaranyaki

    hahahahaaaaa:D:)
  6. Mohammedy Al Hajji

    Mfaranyaki

    kwa wenye historia ya mzee Bakari Mfaranyaki alikuwa na mchango gani huyu mzee maana mi nimesikia habari zake juu juu tu sasa sijajua imekaaje historia yake
Back
Top Bottom