Hakika ni suala zito sana inapofikia watu kujadili udini, Mi nadhani nivyema watu wakatazama ubinaadam kwanza, je kitendo alichofanyiwa sheikh ponda.. kinakuridhisha weye unayeongelea udini ama nawe wataka tu kutugawa kidini humu kwenye jamvi hili?
Hayo mambo mnayofikiria ndiyo yanawafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.