Hii bank haifai kabisa mimi niko nao mahakamani mwaka wa 4 sasa walinibambikia mariba ili nishindwe kulipa kumbe walilitamani eneo langu wakaliuza bila kufata taratibu na mbaya zaidi walifanya mnada usiku saa moja jioni mnada wenyewe nje ya eneo langu mbali kabisa kumbe huo mnada ukikuwa wa...
Kwa kutambua umuhimu wa mume dini yetu ya kiislamu inasema yatima ni yule aliyefiwa na baba na siyo mama na pia iksema kama ingeamrishwa binaadamu kumsujudia binaadamu mwenzie basi angeamriwa mke kumsujudia mume hii yote ni kutambua sacrifice ya mume kwa familia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naona ni suala la uwezo wa mtu lakini hata ukiweka kila kitu kihaki kama una familia lazima uwache pesa nyumbani sometimes tunawaona tu wake zetu hata akitamani soda au mtoto katamani ice cream mpaka upigiwe simu siyo sawa kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni transporter ndugu ndiyo kazi ninayoimudu kwa zaidi ya miaka 15 hata nikiwa nimelala naweza ku manage malori yangu ila nilikuwa na shamba nikajenga nyumba ya weekend na nyumba ya wafanyakazi na kisima nikasikia story pale shambani za kunishauri jenga banda tukimbize biashara ya kuku...
Mimi ninalo la urefu mita 60 na upana mita 10 mkuranga nimekijenga miezi saba iliyopita la kisasa kabisa full tofali chini zege feeders ninazo mpya na drinkers nimetishwa siweki kuku tena ma kisima kipo maji safi kabisa,uwezo wa kujenga mengine ninao kama itatokea wakukodisha ila roho imegoma...
Access bank ni matapeli mimi naandika haya ni mteja wao nikiwa naendeshana nao kesi mahkamani mwaka wa tatu takriban haki naamini itapatikana mahkamani
Tabia kuu za access bank kwa faida ya wengine:
1.Ni matapeli wana wateja wa kila security iliyowekwa bank
2.ni wahongaji wazuri ili...
Watu humu wana kimbilia kuhukumu na kudhania mwarabu sijui mu Asia si sawa kabisa tumewakosea nini?au kutoa ajira kwetu hata kama kwa malipo yasiyoridhisha ndiyo shukran kutukanwa kweli???
Mimi nina company ina miaka 3 nimeenda brela kutaka annual returns nilipie ili niambatanishe kwenye kuomba leseni iliyokwisha ya viwanda na biashara sasa waniambia niende kwa mhasibu nikalipie registration fee ya usajili wa company kwani haikulipiwa na mtu niliyempa kusajili kipindi hicho ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.