Habari.
Nimejaribu kuverify information zangu nacte nime attach majibu.
Nlikuwa naomba msaada wa kujua kama Nacte washayapokea matokeo yangu au bado.
Ahsante
Habari.
Nlikuwa naomba Msaada wa kufahamisha kuhusu ishu ya kupata AVN?
Pia nlikuwa naomba kufahamu Nacte huwa wanatumia muda gani ku confirm matokeo maana yangu yashakuwa submitted
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.