Recent content by Modoka Jr

  1. Modoka Jr

    Swali: hivi wabunge wanalipa kodi?

    Hivi wabunge wanalipa kodi asilimia ngapi ya mishahara na posho zao?
  2. Modoka Jr

    CHADEMA mnachukua ruzuku ya nini wakati Wabunge 19 mmewafukuza?

    Watajitetea kuwa hawakupokea Bali wameingiziwa.,[emoji23][emoji23][emoji23]
  3. Modoka Jr

    Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    Uongozo ni uwajibikaji. Mambo ya kuvaa skaf au kutembea na ilani ni lifestyle tu. 🙌🙌🙌
  4. Modoka Jr

    Kwako Waziri Mkuu kuhusu suala la maslahi ya watumishi/watendaji wa Serikali

    Kama hili suala litafanyiwa kazi basi watumishi watanufaika sana. Maana kumekuwa na hali ya watumishi hasa walio na umri mdogo kukutana na hali ambayo siyo waliyotarajia walipokuwa wanasomea fani mbalimbali. Watumishi kupokea mishahara yenye utofauti mkubwa pamoja na manufaa/benefits kadha wa...
Back
Top Bottom