Recent content by moddysheid02

  1. moddysheid02

    Shamba liko sokoni eka 14

    Hapana zote kwapamoja.
  2. moddysheid02

    Shamba liko sokoni eka 14

    Heka zote. Na samahni zipo14 kwa milioni5.
  3. moddysheid02

    Shamba liko sokoni eka 14

    Mananasi na mahindi ndio inakubali inaruduba yakutosha.
  4. moddysheid02

    Shamba liko sokoni eka 14

    Hapana lipo njia yakwenda msata.
  5. moddysheid02

    Shamba liko sokoni eka 14

    Lipo mbele ya kijiji cha kiwangwa kunakijiji kinaitwa motemo km1 kutoka bara bara kubwa ya kwenda msata.
  6. moddysheid02

    Shamba liko sokoni eka 14

    Nauza shamba heka14 bagamoyo bei chee. 0683342024. Heka 15 kwa million5.
  7. moddysheid02

    Game indusrty

    Kuna jamaa au kikundi huko arusha nilishaona wakifanya hiki kitu pamoja na ww au ww uko peke yk? Niliona walifikia kipindi cha animat na walikua wanatumia zile tags nahisi sijui kitalam wanazitaje lakini hawatumi flem by flem. Dah! Ngoja na mm niendele kukaza kumbe tuko wengi wenye ndoto hizi...
  8. moddysheid02

    Game indusrty

    Safi sn. Namini watatoka watu wengi sn ktk hili. Siku na mm nitarusha kazi yng. Ila kikubwa kushilikiana na kubadilishana utalam. Mm cjasomea hivi vi2 ila namini nakipaji na sana juu yake. Ww uko wapi mkuu.
  9. moddysheid02

    Game indusrty

    Safi sana. Mm nilikua napenda sn kufanya hiki kitu. Na nilijifunza kidogo kuitumia hii software ya blender lakini niliona kwangu km kunavitu vingine nakosa nikajaribu kutafuta software yngne ambayo wanaita maya ndio naendelea kujifundisha mm mwenyewe japo vitu vingi vina fanana na blender. Dah...
Back
Top Bottom