Sawa, ila ndo huyu huyuu, ali Tabiri ile ya Arusha.., huyu huyuu ali Tabir kifo cha JPM since 2016.huuyu Huyu ali tabiri kjhusu kuumwa kwa Lowasa tatzo hamfatilii Nyuzi zake mkae kwa kutulia basi.
Na niku hakikishie haya mambo yapo na ni kwa gifted pepo sio kila mtu Niseme tu WALLAHI WATA...
Nimetoa Nime baki na Capital [emoji1484][emoji1484]japo imebak kias ila kwa Kuithamin ina yakiwa ipande.. ili nitoe tena ibak tena iyo.
Note:- I prefer Inplay match hiz pre daah naogopaga sana.
#SEMA HUMU NDANI KITAMBO SANA NILI LOG OUT MIAKA YA 2018 NIME RUDI TENA LEO.
[emoji1428]Ok Tupeane Kaushaur kidogo Sikuiz mechi ni hazitabirik maranyin hivyo napendekeza watu wacheze Inplay (Subir Kikos Kitoke)then Wait for a 10-15 minutes then fanya yako hapo utakua usha jua hata mood za timu...
First Over 1.75 Goli ziwe 2+ ikitokea Goli Ni 1 tu hapa mta gawana Pesa Na Booker.
Second Under 1.75 hapa ikiwa 0-0 , 1-0.. ume win. Ikiwa 0-2 ume los match.
Over 2.25 Goli ziwe 3+ ikiwa goli full time ni 2 tuu Mta gawana Pia.
Ikiwa Under 2.25 pawe 0-0, 0-1,0-2 ume win hiyo slip.
Ikiwa ni 0-3...
Huenda Ukifika hiko kiwango unakua na Vibe una place Odds kubwa unaweka pesa kubwa au Ku manage huo mtaj ndo Kipengele.
Ushaur ukifika huo mtaj just stake wisely na usikimbilie odds kubwa, usiweke Mkeka jitahid uwe una piga live match (Inplay) shukrani.
Kama Utacheza Pre-match bas Games...
1-> Nyumbani Ashinde Full Time au Kupatikane Magoli Ma 3. Mfano (1-0 ,1-2 ,2-1) hapa ume Win.
2-> Wa Ugenini Ashinde Full Time Au Wafungane. Mfano ( 0-1, 1-1) unakua ume Win.
Karibu Kwa Swali. [emoji1753][emoji1614]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.