Ngeleja kawafanyia mengi wana sengerema, ngeleja Ni kijana mchapakazi, anayewajali wananchi wake. Wazee hao wameona mbali hawajababaishwa na maskondo ya kusingiziwa aliyitengenezewa na wasiolitakia mema Taifa hili. Ngeleja ni mtu wa Watanzania. Anafaa kuongoza nchi anafaa kuingia Magogoni.
Escrow ni Mpango wa wabaya wa ngeleja kujaribu kuizima nyota yake. Lakini wamechemka na ndiyo maana kanda ya ziwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kaongoza kwa 83% huku wapinzani wakigawana 17%. Ngeleja katapila. Anafaa kuongoza nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.