Dr. Tunashukuru sana kwa msaada wako hapa jamvini kiukwel inatusaidia watu wengi sana..Sorry bawasiri ikiwasha sana kuna dawa ya kuweza kupaka au kufanya isiwashe?Na nini matibabu haswa ya kuondoa kabisa bawasiri au hemmoroids pls
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.