Eti diamond anaimba kuliko p2,mafikizolo,davido na dibanj......... Hapana jamani tunaibiwa kweupe peeee bora nibaki kwa Alikibar kwenye uhalali kuliko kunako vuma kwa uwizi..... Tangu nimezaliwa sijawahi kusikia wimbo Wa Diamond wenye ujumbe Wa maana... Ni kweli wapumbavu ni wengi na wanapenda...
Mwalimu umepindisha kukwepa aibu???? Kumbe ningekufata ofisini nikwambie mwalimu... Afu huwezi kumbadili mtu jina lake may be umpe nick name.... Ko teacher usitafte kick umekosea bana si ufute tu hako ka u then uweke a tuendelee kuandika
Duh.......????? Pole sana ndo inayokutulizaga wewe usikute ndo mana umeachika Mara nyingi.......wenzio hatutulii tunaguna kimahaba ndugu.......!!! Sasa wewe unatulizwaga bana na unakua kama gogo?????? Afu ukimaliza unamwambia thanks my morning dew...... We endelea kujifanya wa kindangaten...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.