Haikuwa kwenda bunge Dodoma, walikuwa waende mjini kwa mkuu wa mkoa, ukitoa taarifa hakikisha ni sahihi ucpotoshe umma. Mzumbe ni vipaji kwa hakika.
Siasa hazihusiki katika hili swala.
lengo halikuwa kwenda Dodoma wala bungeni, walikuwa waende kwa Mkuu wa mkoa hawakufika. Chadema hawausiki kwa taarifa zilizopo mpaka sasa. They are special.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.