Recent content by mnp_222

  1. M

    JamiiForums Tanzania Jengo la Mama na Mtoto – Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya (Meta) Jengo hili ni miongoni mwa majengo ya kisasa yaliyotekelezwa katika hospitali 7 za

    jengo la mama na mtoto hospitali ya kanda mbeya(Meta) ni moja ya majengo yaliyojengwa kwenye hositali 7 za kanda. ni kielelezo cha azma ya mama ya kuendelea kupunguza vifo vya uzazi. #hhaijapatakutokea #kurayakwanzakwasamia
  2. M

    JamiiForums Tanzania Polepole na tuhuma za uongo dhidi ya mradi wa JNHPP

    Hoja zipi zenye mashiko? Kuicjafua serikali no kitu kizuri. Tumia angalau sek. Kuchemsha Hilo bongo lako ufikilie vzuri
  3. M

    JamiiForums Tanzania Polepole na tuhuma za uongo dhidi ya mradi wa JNHPP

    Pole pole Hana inshu
  4. M

    JamiiForums Tanzania Polepole na tuhuma za uongo dhidi ya mradi wa JNHPP

    Polepole ni uongo San anatumia nafasi ya kutoka wenye nafasi yake ili kuifitinisha serikali na wanachii
  5. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    ndugu watanzania wenzangu kamwe usishidane na mtu aliyepewa libali na mungu, Ona nyomi la watanzania lilivyo kusanyika kumsikiliza Mhe.Samia Suluhu
  6. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    ifikapo tar 29 oktoba unatakiwa kuwa Makini kuangalia balot paper Yako ya chama cha mapinduzi Kisha utakwenda kuweka ✅ kwa mgombea wetu Dkt Samia Suluhu Hassan . Oktoba tunatiki ✅✅✅✅✅ #haijapatakutokea #KurayakwanzakwaSamia
  7. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Morogoro wameitika wao wamesema hawakubali kuhadthiwa wamesema wanataka kwenda kujionea wenyewe kishindo cha kijani cha wana Ccm.
  8. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uzinduzi wa Kampeni za CCM Viwanja vya Kawe, Agosti 28, 2025

    Haijapata kutokea umati mkubwa wa wanachi kujitokeza kwenda kushiriki uzinduzi wa kampeni za ccm kitaifa ambao umefanyikia uwanja wa Tanganyika packers kawe. #haijapatakutokea #tukawashangaze
  9. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uzinduzi wa Kampeni za CCM Viwanja vya Kawe, Agosti 28, 2025

    TUKAWASHANGAZE, HAIJAPATA KUTOKEA "....kuwa sehemu ya kihistoria..., umeona mengi ila hii Haijapata Kutokea. Twendeni tukawashangaze..." Ni Alhamis 28 Aug 2025 Tanganyika Parkers - Kawe #Tukawashangaze #Haijapatakutokea
  10. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ufunguzi wa kampeni za CCM 2025

    Wanachi wote tunaoaswa kufahamu haki zetu kikatiba zikiwemo kushiriki uchaguzi mkuu 2025. Kufautiwa na ufunguzi wa kampeni zitakazo Anza tar 28.08.2025 tu aalikwa wote kufika viwanja vya Tanganyika packers tukamsikilize mgombea wetu katika yake aliyo tuandalia .
Back
Top Bottom