Baada ya muda mrefu hatimaye leo waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi dr shukuru kawamba atangaza ajira za walimu,kwa ngazi za cheti,shahada na stashada,waziri pia akaongeza kuwa mwisho wa kulipot vituo vya kazi ni tarehe 1 mach 2013 up to 9..hivyo kutoa matumain kwa vijana wengi ambao walikuwa...
Ipo siku hii kazi ya ualimu itaheshimika,na ukitaka kujua hilo omba nafasi ya ualimu uone kama utapata kwa uraisi..na kwa taarifa yenu mambo yote katika jamii hutokana na mchango wa mwalimu..mimi na haka kadgree kangu ka elimu..najua ipo siku nitaish well,hivyo kuacha fan ya ualimu sio suluhisho...
Subila yavuta heri,cha msingi ni mahitaji ya walimu yapewe kipaumbele,mfano nyumba za kuish,mishahara mizuri,na hata kuthamin mchango wa walimu katika kulijenga taifa letu..msijali soon zitakuwa zimeachiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.