Recent content by mninga dume

  1. M

    Hatuwezi kuwachukia wayahudi kwa wivu wa kijinga na husda na roho mbaya

    Kesi inarushwa live Aljazeera muda huu. Israel wanaonekana wanataka kuendelea na operation yao. Kwa KUWA Bado hawajafikia malengo yao ya kuwaokoa mateka na kuifuta Hamas.
  2. M

    Kipi Bora Tanzania tuwe wengi maskini au wachache wenye maisha bora

    Aliyeenda zake aliwashauri wazaane kwa wingi. Ndomaana wanatekeleza ushauri.
  3. M

    Hatuwezi kuwachukia wayahudi kwa wivu wa kijinga na husda na roho mbaya

    Ibrahim (baba wa Imani) ni mkurdi. Ana asili ya Iraq. Hana asili ya Uyahudi.Alizaa na mama wa kiyahudi (Sara) na mwingine mmisri (Hajra). Alitumwa na mungu kwenda Kaanani kwa ajili ya mpango maalum. Aliwazaa Ishmael na Isaka ambao vizazi vyao viliwatoa YESU na MUHAMMAD. Yesu myahudi na Mohammad...
  4. M

    Utafiti: Mtanzania Anatumia Miaka 18 Kukamilisha ujenzi wa Nyumba Yake huku Asilimia 70% ya Watanzania Wanaishi kwenye Nyumba za Kupanga

    Masikini katika nchi ya Tanzania wapo kwenye mikoa yote sio mikoani pekee. Mpaka hivi tunazungumza Kuna watu wanalala kwenye maboksi Kariakoo nje ya maduka na wengine wanakesha na abiria stendi. Hawana hata vibanda vya nyasi.
  5. M

    Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

    Kuna mengi yalitokea lakini hayajulikani, kwa sababu Kuna baadhi ya vitabu vilipigwa marufuku kutumika kwa maslahi ya watu Fulani. Majibu ya swali hili yanapatikana katika kitabu Cha "MAISHA YA ADAM NA EVA" ambacho nacho kimeondolewa kwenye bibilia za sasa. Kabla ya Eva Adamu alikuwa na mke...
  6. M

    Hile vita ya israel iliopigana na nchi sita ndanaona irudiwe

    Na ndio maana Marekani na NATO wameenda kumsaidia Israel.
  7. M

    Hile vita ya israel iliopigana na nchi sita ndanaona irudiwe

    Kutokana na kukua kwa tekinolojia kwa sasa duniani, Wayahudi hawawezi kuzishinda nchi SITA kama zamani. Na ndo Maana sasa inakaribia mwezi Bado wanapigana na kakikundi kamoja ka kigaidi kwenye nchi Moja ya Palestina isiyo na jeshi, ingawaje Kuna kakikundi kengine ka Hizbullah ka Lebanon kanataka...
  8. M

    Askofu Gamanywa: Hamas ni cha mtoto, Waarabu wote wataungana kutaka kuifuta Israel lakini Watashindwa kwa mujibu wa maandiko!

    Population ya Israel inaonesha kuwa 74% ni dini ya kiyahudi, 16% ni waislamu, 2% ni wakristo na 8% ni dini zingine na wapagani.
  9. M

    Sauti: Keefe D akiri kumuua Rapa Tupac kwa kuahidiwa Dola milioni moja na Rapa P. Diddy

    Issue imebumbuluka wakati marehemu ameshaanza kuoza mpaka mifupa. Hatai kweikwei
  10. M

    Wakristo wanatakiwa kuombea amani Mashariki ya Kati

    Kuna mandezi wengi wanafikiri kuwa Israel ni nchi ya kikristo. Hawajui kuwa ukristo hautambuliki ndani ya Israel na ndo maana akikutwa mtu anahubiri kuhusu Yesu na ukristo anauliwa na wenye nchi Yao (Wayahudi). Tafuteni elimu ili muelewe Dunia ilivyo, hata kwa ku-google.
  11. M

    Nijenge au nifanye biashara kwa akiba ya Tsh milioni 35

    Kongowe sio Dar, ipo mkoa wa Pwani Mzee.
  12. M

    Waraka wa kupinga mkataba wa bandari za Tanganyika na kampuni ya DPW umesomwa kwa mara ya pili

    Watanganyika pia tunataka tusomewe na kuoneshwa mkataba kati ya TEC na Serikali kwa kuwa watanganyika hatukushirikishwa pia kujadili na hatujui kilichoandikwa lakini Kodi za wananchi zinapelekwa makanisani.
Back
Top Bottom