Habari, nilitumia dawa tajwa baada ya siku mbili wadudu walikuwa kmya ila baada ya hapo nawasikia kila siku. Je nirudie tena dawa ama nifanye nini? Leo ni siku ya kumi tangu mipige dawa.
Habari wanajamvi.
Nimekuwa nikikabiliana na woodworms (wood borers) kwenye miti na mbao hasa ni wale long-horn beetles wadudu wanao kula mbao kwa muda mrefu kwa kutumia aina tofauti todfauti ya viuatilifu ikiwemo Dichlorvos(DDV), Chloropyrifos(Colt) na Imidacloprid (Twiga Prid) bila mafanikio...
Mambo vp mkuu? Mimi paa la nyumba limeshambuliwa na wadudu nmetumia dawa nyingi ambazo zinachanganywa na maji ikiwemo DDV, Colt lakini bado wanasumbua naomba msaada kwa wanaouza dawa za kuangamiza hawa wadudu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.