Recent content by mniga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada kwenye hili

    Mimi pia nshaweka Gypsum
  2. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada kwenye hili

    Salama,Hapana bado.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wadudu wamekula mbao za dari, paa linataka kudondoka. Mtaalamu wa dawa anisaidie ushauri

    Nmefwnya hivyo ulivyoelekeza lakini wadudu bado wako kazini
  4. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wadudu wamekula mbao za dari, paa linataka kudondoka. Mtaalamu wa dawa anisaidie ushauri

    Muongozo kuhusu Kiasi cha mafuta ya taa, oil chafu na chumvi ya mawe
  5. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wadudu wamekula mbao za dari, paa linataka kudondoka. Mtaalamu wa dawa anisaidie ushauri

    Nmemtafuta jamaa mmoja anasema wenyewe wanafanya treatment kwa kutumia gesi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada kwenye hili

    Habari, nilitumia dawa tajwa baada ya siku mbili wadudu walikuwa kmya ila baada ya hapo nawasikia kila siku. Je nirudie tena dawa ama nifanye nini? Leo ni siku ya kumi tangu mipige dawa.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada kwenye hili

    sawa
  8. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada kwenye hili

    Mbao za kwenye paa ziko zaidi ya 200
  9. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada kwenye hili

    Habari wanajamvi. Nimekuwa nikikabiliana na woodworms (wood borers) kwenye miti na mbao hasa ni wale long-horn beetles wadudu wanao kula mbao kwa muda mrefu kwa kutumia aina tofauti todfauti ya viuatilifu ikiwemo Dichlorvos(DDV), Chloropyrifos(Colt) na Imidacloprid (Twiga Prid) bila mafanikio...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wadudu wamekula mbao za dari, paa linataka kudondoka. Mtaalamu wa dawa anisaidie ushauri

    Mambo vp mkuu? Mimi paa la nyumba limeshambuliwa na wadudu nmetumia dawa nyingi ambazo zinachanganywa na maji ikiwemo DDV, Colt lakini bado wanasumbua naomba msaada kwa wanaouza dawa za kuangamiza hawa wadudu
Back
Top Bottom