OFA KUBWA kutoka Mkuki na Nyota! Pata vitabu vyote 9 kwa bei ya vitabu 7 na ukamilishe seti nzima ya ALFU LELA U LELA.
Vitabu hivi vinasisimua sana na kama hujawahi kuvisoma basi ukianza kitabu cha kwanza hautaweza kukiweka chini na utataka umalize vyote na mpaka sasa mfululizo umefikia vitabu...
Kwa hapa Tanzania kinapatikana Duka la Vitabu la TPH Bookshop pale Samora Avenue #24 karibu kabisa na duka la Sapna Electronics, bei yake ni shilingi 65,000 (Hard Cover). Nimeambiwa kuna nakala chache zimebaki, takribani 6 hivi hivyo fanya hima kama unakitaka mara moja. Unaweza kuwasiliana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.