Recent content by Mnaviraa

  1. M

    Misiba imekuwa gharama sana

    MKUU HUO NI UBIDHAISHAJI, AMBAPO KILA KITU NI BIDHAA! SIYO MSIBA TUU. SIKU HIZI WATU NI MATAJIRI KWA TENDA ZA KUTOLEA KINYESI NA MKOJO MIJINI!!
  2. M

    Majina ya namna hii ni chanzo cha uhalifu

    Acha kasumba ya utumwa! Kufuta litaanzwa jina la Mswangilishi na kubakiza KICHAKA -BUSH, MOON- MWEZI, MASUNGA- MAZIWA, BUJIKU- USIKU, ANANGISYE, ANDOLILE, BROWN RANGI YA ...., GOODLUCK,.. HAPPINESS.....NK???
  3. M

    Haya ndo niliyoyaona Mtwara katika ziara yangu

    Kaka Mtwara kuna mengi mazuri! Nione nikuoneshe mazuri mengi, acha masuala madogo ya ming'oko, panya ambapo panya, mbwa, panzi, mafunza, nyoka, ngiri wanaliwa mikoa mingi dunia.
  4. M

    Athari za ndimi mbili katika jamii

    Hivi kuna siri gani kwa watu wenye ndimi mbili katika maisha? Nchi yetu imefika mahali si katika siasa, uchuni, mapenzi, mahusiano yamekuwa ndimi mbili. Iwe kwa mtu unaemwamini kwa kumpa siri zako, michongo yako, na matarajio yako anasaliti. Je tatizo la kusalitiwa limewahi kukukupata? Nini...
Back
Top Bottom