Recent content by mmzale

  1. mmzale

    Hivi kwanini wanawake wa siku hizi kupika kwao ni adhabu?

    That's hilarious 😆
  2. mmzale

    Wanaume ni viumbe wabinafsi sana na wasiokuwa na utu

    I know you're angry! I can understand that. Lakini kuchukia wanaume wote kwa makosa ya wachache is being cruel and unfair. Wanawake WENGI wanaingia kwenye matatizo ya abusive men kwa sababu wanafukuzia manufaa yao zaidi. Wanawake hao wapo likely kumkataa mwanamme ambae ni Respectful na badala...
  3. mmzale

    Sina imani naye tena

    Ikiwa traditional relationship imekupa mitihani basi long distance relationship itakupa wazimu. Mapenzi yana raha, lakini huyadhibiti kwake ni karaha! Being loved is easy, but loving is painful. Kuna vitu kwenye relationship unatakiwa usifanye na wewe unaonekana unafanya tena kwa kasi kubwa...
  4. mmzale

    Hivi kwanini wanawake wa siku hizi kupika kwao ni adhabu?

    Hapo zamani, kabla ya utandawazi, nafasi ya wanawake kwenye jamii ilikuwa wazi na walikuwa wakikubaliana nayo. Japo kuwa baadhi ya wanaume waliitumia nafasi hiyo kuwadharau na kuwashusha hadhi wanawake. Baada ya utandawazi, wanawake finally wakaona namna ya wanawake wenzao duniani...
  5. mmzale

    Nahisi nakataliwa na mabinti wazuri kisa nikitambulisha mimi mwalimu

    Kabla ya kuanza pirika za msako kwanza jiulize suali moja la msingi. Je, natafuta mwanamke mrembo wa kunipendeza ili na mimi mbele ya watu nijivunie urembo wake? Au natafuta mwanamke ambae tutasaidiana kujenga familia na future bora kwa watoto wetu? Ni vigumu sana kutafuta mwanamke mmoja kwa...
Back
Top Bottom