Wabunge wenye sifa ya kujua kusoma na kuandika hawawezi kuipeleka nchi popote.Zaidi ya kusema ndiyo mzee.Tutaona mengi hadi 2020.Na waTanzania tujifunze sasa.
Tulia ni mzigo tunaomba aliemteua amkanye anaenda vibaya kama anasikiliza ushauri wa chenge mwenzake hana cha kupoteza,ana vijisenti na yeye ndo anaanza."Akili ya kumbiwa changanya na ya kwako".JK.
Katiba yenye rasimu ya Warioba hawaitaki,Zanzibar wanapandikiza mtu wao wanaona sawa.Huyu Kessy aache unafiki.Maana ni unafiki kama wa Tulia na kamati yake ya maadili.Mlevi aliyeingia bungeni kautwika hajadiliwi na kamati ya maadili.
Eti mtu aliyeomba moongozo ameleta fujo.Tulia hivi ana mme...
Kafundishe fasihi shuleni aibu kuwa double standard Rais mmoja ccm anasema wanafaa anakuja mwingine wa ccm hiyo hiyo anasema hawafai.Mnapeleka Taifa hili maskini mama Tanzania.Ndiyo maana tunataka mabadiliko toka popote.Kikwete aombe radhi kwa watanzania sasa.
Kama Mzee Kingunge anaweza kuwa mtu wa kuja ndani ya ccm kwanini unashangaa ya Zito?Mtu alie andika katiba ya chama kuwa mkuu wa oganaizesheni ya chama lakini eti ni mtu wa kuja kuliko kikwete!!!! Hahaha........Siasa bwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.