Najaribu kuwaza hivi wanasheria wa yanga hawakuliona hili kuwa haliluhusiwi katika soka au ni kutaka kuiingiza club katika mgogoro na fifa na ulimwengu wa soka bila sababu. "Mgema akisifiwa tembo hulitia maji". Haya tumeshayatilinganya tusubiri yajayo. Hatujifunzi tu yaliyotokea CHAN. Yanga...
Hiyo akili iliyokushauri kuja kutafuta ushauri ishukukuru sana wenzako tupo kitanzini hatujui tunatokaje. Bank loan is very trap kwa tulio wengi wakati milioni 80 inaingia moyo unalipuka kwa furaha tukiamini ni hela nyingi na haiwezi kuisha. Mh kila nikiangalia siamini any way mjengo...
Kama usimamizi madhubuti ukitekelezwa na zoezi likawa endelevu. Mzawa anaweza kuona matunda ya rasilimali na fursa zilizomo nchini kwake anaweza kunufaika. Siyo haya yaliyokuwa yanaendelea mchina kuhodhi kila kitu na mzawa kujikuta ni mtazamaji.
Pia soma > Aina za biashara zilizopigwa marufuku...
"Haya madini hayaozi yaacheni siku watu wetu wakiamka na kutambua jinsi ya kuyachimba watayachimba". Hiyo ni kauli ya hayati Baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kiongozi aliyetanguliza maslahi ya taifa lake na kizazi cha Taifa.
Leo yanayoendelea kwenye migodi yetu ni ya kusikitisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.