Mada ni nzuri sana, lakin ili iwe na msaada zaidi kwa kundi tajwa ni vema mtoa post ukaeleza ni kwa namna gani sasa hao wanao tarajiwa kuolewa wawe. Kama hiyo haitoshi ni vema pia ukaeleza utofauti wa msichana na hao wanao paswa kuolewa. Natanguliza shukrani za dhati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.