Wanateka migodi ya wachimbaji wadogo kila siku; wanawapiga sana wachimbaji wadogo; wanawafungulia kesi; wanachukua na kuharibu miundombinu yao bila huruma. Serikali i.e wizara kimya.
Kuanzia tar. 15/09/2013 umeme umekua ni tatizo kubwa kwa mkoa wa Arusha na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Manyara especially Mererani, tatizo hili limekuwa ni la kujirudia kila mara kwa zaidi ya wiki tatu sasa, kila wadau tunapojaribu kujua nini shida, utaambiwa nyaya zimeibiwa
Na ndo Tanesco...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.