Kwa maana hiyo magunia 6 yana nunua DAP na UREA bado palizi,kupanda,kulima,madawa na mavuno na ekari moja ni gunia 20.Jamani hali ni hatari hiyo mbolea yenyewe haipatikani halfu wapo busy kila siku kwenye video mbolea magari yanasambaza mikoani sijui yanapeleka kwenye vyumba vyao vya...
Kipindi lissu yupo alikuwa kimya matamko yake yalikuwa si ya vitisho.Nimemiss lissu jama haya matamko ya huyu jamaaa sidhani kama lissu angekuwepo angesubutu kuongea ongea.
Jamaa wanajua mbona wanaongea weee unataka waige mpaka sauti ya huyo dada au ya wazungu ndo useme wanaongea vzr?Muwaweke mbumbumbu wenu hapo hasa mkuu wao mtaona miujiza
unauhitaji baada ya mwenzio kununua,umeambiwa maeneo yamekwisha Tz sasa ndo muanze nyang'anya yawenzenu.kwa hiyo unasubr kugawiwa bure?watanzania hatupendani.
Lissu aliwataka wanasheria kugoma kwa madhumuni ya kukemea hali hii lakini wakawa wabishi waliona pesa mbele kuliko maisha yao kuwa salama.Watamkumbuka Lissu juu ya mgomo wake wataendelea kupambana na watu wasiojulikana leo IMMMA, kesho Lisu, keshokutwa Wakili wa Manj,Je makesho kutwa itakuwa...
Majaliwa alipiga marufuku kusafirisha mahindi nje ya Tanzania lakini wapo waliopinga katazo hilo na wapo waliotetea katazo hilo.Swali la kujiuliza ni sababu ya watu wanasafirisha mahindi badala ya unga? au ni sababu ya wapinzani waliwazodoa serikali msimu wa 2016/2017 njaa ilipojitokeza na...
Kamanda Siro ana sema wanamkamata mtu (wanasiasa) anaetenda makosa ya jinai kisha kumfikisha mahakamani, sidhani kama wanakamata pasipo jiridhisha kupitia wanasheria wao sidhani.
Wasiwasi wangu ni kama polisi hawana weledi wa wanasheria wazuri wa kulishauri jeshi la polisi na ndo maana kila...
Andika msukuma na si Msukuma hana sifa ya kuandikwa kwa herufi kubwa,hivi wangepatikana wakina lissu 5 mgetoka kama wabunge,mawaziri,polisi,ikulu,usalama wa taifa,wasomi na raisi lissu lissu je wengekuwa 5 ingekuwaje jamani?lissu ni hatari.
hahahahaha kuna vituko duniani eti msukuma kamjibu lissu kuna watu wanachekesha sana.msukuma huku si bungeni kwamba utapigiwa makofi na mbumbumbu wenzako kaa kimya we saizi yako ni bashite
[QUOTE="Martin George, post: 22959782, member: 436968"
broooo,si kwmba hamna watu kama hoa sema wengi ni waganga njaa mfano prof Kabudi ulimpende akiwa nje alikuwa anapanga hoja mpaka povu linamtoka sahv kila kitu raisi ni head of state,head of gvt and command in cheif sasa mtu huyo ataongea...
Umejitahidi kuandika lakini hujui ulichokiandika ila sikulaumu aliyekutuma kutetea hakujua km hujui maana ya mkataba kwa kukusaidia unapovunja mkataba nilizima uangalie nani anafaidika sasa km ulijua kuvuja ni uzalendo kwa faida ya watanzania tz kwa nini iwe siri na kulipa iwe matanga.Zaidi ebu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.