Recent content by Mliga

  1. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Shukran mkuu! Kwahiyo yakilingana ni shida? Mfano cha kwanza moja, cha pili moja?! Maana kuna jamaa nahisi kanilisha sumu!
  2. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu samahani mi ni mgeni kwenye hili jukwaa. Ninaomba ufafanuzi juu ya hii option ya many goals second half, hivi ushindi wake unakuaje? Natanguliza shukrani!
  3. M

    NewCastle United Special Thread

    Hongera mkuu mmechomoa Shukran mkuu! Tumepona!
  4. M

    NewCastle United Special Thread

    Newcastle utd 1-0 west ham utd ! l hope tutabaki!
  5. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    wiki ya majanga inaendelea
  6. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hu hu hu huuu chelsea karudisha mpunga kwa kanjibai....
  7. M

    Msaada, laptop kugoma kuzimika

    nashkuru wakuu kwa ushaur wenu. Hatimaye nimefanikiwa.
  8. M

    Msaada, laptop kugoma kuzimika

    nimekupata mkuu. Ila hamna njia nyingine ya kumaliza hili tatizo zaidi ya hiyo?
  9. M

    Msaada, laptop kugoma kuzimika

    wakuu naomba msaada wa kulitatua tatizo hili la laptop yangu kugoma kuzima. Kila nikitaka kuzima niki cick shutdown haijibu chochote had nizime kwa kutumia start buton. Na ikiwaka unakuja ujumbe wa cancell or force to shut down; natumia window7. Natanguliza shukran kwenu.
  10. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    galatasaray keshachanaaaa....
  11. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hatimaye Meridian wako moro ila namna ya kuweka mzigo ndo ishu.
  12. M

    msaada wa kioo cha toshiba mini laptop Portege R705.

    Usijali mkuu ntakucheki hewani haraka iwezekanavyo.
  13. M

    Tunatengeneza computer za aina zote desktop,laptop.

    mi display yangu ya laptop toshiba mini R705 imevunjika na haifanyi kazi kabisa. Vipi naweza kupata huduma hapo kwenu mkuu?
  14. M

    msaada wa kioo cha toshiba mini laptop Portege R705.

    wakuu naomba msaada wa wapi au maduka ntakayopata kioo cha laptop tajwa hapo. Natanguliza shukrani kwenu.
  15. M

    msaada wa kutoa sleep timer kwenye tv ya sanyo.

    wakuu kumradhi naomba msaada niweze kutoa sleep timer kwenye tv tajwa hapo juu. tangu niinunue sina raha nayo, inakaa dakika kumi inajizima . nimejaribu kwa rimot yake hata menu yake haileti, zaid inabadili channels, kuwasha na kuzima tv,kuongeza na kupunguza sauti basi. Natanguliza shukran.
Back
Top Bottom