Dogo anaongea siasa, je Kuna political will kuwabeba wazawa?
Kuna wazawa Wana viwanda vimekufa kisa wanasiada wana ubia na wafanyabiashara waofanya importation
Pumbavu wewe hao watu wa kaskazini hawaha na hawajui itikafi za vyama
Au ndo nyie mnadhani siasa za vyama ni kama ushabiki wa simba na yanga, au arsenal na Manchester
Dogo siasa ni ushawishi wa itikafi na sera
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.