Hawana shida kabisa. Kikubwa ufate maelekezo tu. kile ni chuo kizuri sanaa ukichaguliwa tu jua utasoma sheria kama vile CPA, katiba, Evidence Act na nyingine za polisi but kozi yao nzurii na michezo pia ipo na wanajali sana imani kuna churches na msikiti pia.
Daaaa CCP Moshi kuamka saa nane usiku,.Maafande hawa Pandu, Frank, Petro, Simtowe na Fimbo ya Musa hatariii sanaaa.Wadogo za ngu jipangeni kule ni nidhamu, utii, weledi na uvumilivu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.