Recent content by Mkweliii

  1. Mkweliii

    GE2025 Mwl. Mbelwa Petro asema ikiwa Rais Samia hatapata 99.9% ya kura zitakazopigwa Biharamulo oktoba 29 ashitakiwe mahakamani

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi, Mwl. Mbelwa Petro baada ya kuidhinishwa na Halmashauri kuu ya chama hicho kuongoza timu ya kampeni ya kusaka kura kwa wagombea wa CCM katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu wa 2025 amesema ikiwa kura za Dkt. Samia Suluhu Hassan hazitafika...
  2. Mkweliii

    GE2025 Mwl. Mbelwa Petro ateuliwa kuongoza timu ya kampeni za CCM Uchaguzi Mkuu 2025

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi, Mwl. Mbelwa Petro ameteuliwa na Chama hicho kuongoza timu ya kampeni ya kusaka kura kwa wagombea wa CCM katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu wa 2025. Akizungumza baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo, Mwl. Mbelwa Petro alisema...
  3. Mkweliii

    Mwl. Mbelwa Petro: CCM ITAENDELEA KUURITHI UFALME WA IKULU YA TANZANIA MILELE NA MILELE.

    Tunapoelekea kuzindua kampeni za uchaguzi unaotarajiwa kufanyika siku 61 zijazo, tume huru ya Taifa ya uchaguzi {INEC} ikiwa imeteua wagombea 17 wa kiti cha urais, chama cha Mapinduzi {CCM} kina silaha 3 muhimu katika uchaguzi mkuu huu wa 2025, ambazo ni; 1. Rekodi ya utekelezaji wa ilani ya...
  4. Mkweliii

    GE2025 MWL. Mbelwa Petro ateuliwa kuwa miongoni mwa wagombea Udiwani Kura za Maoni Kata ya Ruziba

    Aliyekuwa kada wa CHADEMA na mgombea wa kiti cha ubunge jimbo la Biharamulo katika uchaguzi mkuu uliofanyika Octoba, 2020 na baadae kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mnamo tarehe Machi 25, mwaka huu wa 2025 ameteuliwa na kamati kuu kushiriki kinyang'anyiro cha kura ya maoni katika kiti cha...
  5. Mkweliii

    GE2025 Sasa ni rasmi Mbelwa Petro amechukua fomu ya kuwania kiti cha Udiwani Kata ya Ruziba wilayani Biharamulo kupitia CCM

    Juni 29, 2025 majira ya saa 4 asubuhi Mwl. Mbelwa Petro amewasili ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM} kata ya Ruziba na kuchukua fomu ya kuwania kiti cha udiwani katika kata hiyo. Kada huyo wa chama cha mapinduzi mara baada ya kukabidhiwa fomu na Katibu wa CCM kata ya Ruziba, Cde. Erasto J...
  6. Mkweliii

    PreGE2025 Buchanagandi Kiiza: Sitokuwa sehemu ya wagombea wa kiti cha ubunge Biharamulo katika uchaguzi huu wa 2025

    UTANGULIZI. Awali ya yote napenda kumshukru mwenyezi Mungu, muumba mbingu na nchi kwa kutujaria uhai, nguvu na uwezo wa kutukutanisha leo tukiwa wazima buheri wa afya. SHUKRANI. Kabla ya kuendelea naomba mniruhusu nitoe shukrani zangu za dhati kwa viongozi wafuatao ambao kwa namna moja ama...
  7. Mkweliii

    Mwl. Mbelwa Petro: Tanzania ipo moja tu kwenye uso wa dunia hivyo tuwe chonjo na kauli za patachimbika!

    Waasisi wa Taifa letu la Tanzania kwa uzalendo wao walipambana kuifanya ardhi yetu kuwa hifadhi ya viumbe vyote, wenye utamaduni (binadamu) na visivyo na utamaduni (wanyama). Watanzania wa leo tunayo sababu ya kuwashukuru wazee wetu kwa kazi hiyo iliyowashinda waasisi wa mataifa mengine mengi ya...
  8. Mkweliii

    PreGE2025 Mwalimu Mbelwa Petro: CHADEMA hawakujiandaa na Uchaguzi zaidi ya kujiotesha ndoto za kuzuia Uchaguzi

    Ni 4Rs za Mama Samia zilizorejesha uhuru wa vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara, kufutwa kwa kesi za kisiasa zikiwemo za Mh. Mbowe na utoaji wa ruzuku kwa vyama vya siasa ili vijiendeshe. Ghafla CHADEMA mnabweka eti mtatumia nguvu ya Umma kukinukisha? Tangu lini CHADEMA mkawa na...
  9. Mkweliii

    PreGE2025 Aliyoyafanya Rais Samia na mbunge Ezra John kwa ajili ya Biharamulo na Tanzania, acha siasa iwe upendo

    Tangu serikali ya awamu ya sita chini Rais Dakta Mama Samia ianze kazi, wilaya ya Biharamulo tumenufaika na miradi mingi iliyogusa maeneo yote muhimu ukilinganisha na awamu nyingine zilizopita kibajeti. Falsafa zake za maridhiano, ustahimilivu, mageuzi na kujenga upya, Mama Samia amedumisha utu...
  10. Mkweliii

    PreGE2025 Mwalimu Mbelwa Petro: CHADEMA hawakujiandaa na Uchaguzi zaidi ya kujiotesha ndoto za kuzuia Uchaguzi

    "Kipimo cha utayari wa kitaasisi unaweza kuona katika jinsi vyama hivi viwili vilivyojipanga na uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Wakati Dr. Samia na Dr. Nchimbi wameshaambia Watanzania kuwa kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu wanakwenda na kauli mbiu ya KAZI NA UTU - TUNASONGA MBELE, CHADEMA...
  11. Mkweliii

    PreGE2025 Mwl Mbelwa Petro aikacha CHADEMA kabla ya uchaguzi mkuu

    WASIRA AYAMALIZA NA MBELWA PETRO WA CHADEMA ZIARA YAKE YA KWANZA MKOANI KAGERA Na Grace Mpondwe. Katika hali isiyotarajiwa leo Machi 25, 2025 aliyekuwa mgombea wa kiti cha ubunge jimbo la Biharamulo mwaka 2020 kupitia CHADEMA amekihama chama hicho na kujiunga na CCM akipokelewa na kukabidhi...
  12. Mkweliii

    Mwl. Mbelwa: CHADEMA wameshindwa kuweka utulivu kwenye ofisi moja, watawezaje kuongoza nchi yenye watu zaidi ya milioni sitini?

    "Ni vigumu kwa chama kilichoshindwa kuweka utulivu kwenye ofisi moja ya makao makuu iliyopo Mikocheni kuweza kuleta amani kwenye nchi yenye ukubwa wa kilomita za mraba 945,000 na watu wake zaidi ya milioni 60 ikiwa wamepewa nchi kuitawala". Mwl. Mbelwa Petro, akiwa anapokelewa na Makamu...
  13. Mkweliii

    PreGE2025 Mwl. Mbelwa Petro: CHADEMA wanasadifu harakati za mnyama pimbi

    "CHADEMA wana harakati kama za mnyama pimbi, unawakuta juzi wanaimba NO HATE, NO FEAR!, jana wanaimba JOIN THE CHAIN!, leo wanaimba STRONGER TOGETHER!, kesho utawakuta wanaimba NO REFORM, NO ELECTION!, na bangi za Lema zikikolea kichwani anaanza kuwaimbisha wanachama TONE TONE mara NIMO...
Back
Top Bottom