utani upo ila si wakibaguzi wa rangi au kimaumbile,tusitumie utani kama kivuli cha kumdhalilisha mtu tena kwa maneno yanayolenga mapungufu ya kimaumbile aliyonayo.FAIR PLAY,SAY NO TO RACISM.
kwani rais anapatikana kwa maridhiano au kura zinazopigwa na wananchi? ccm waacheni wazanzibari waongozwe na kiongozi wanayemtaka maana ni haki yao kidemokrasia tofauti na hapo futeni vyama vingi ili tujue nyie ni watawala milele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.