Kujua kwamba atakuwepo pale ilkuwa ni lazima Rais hawezi kwenda mahali bila taarifa. Lazima usalama wa taifa walipatembelea sana hapo kabla hajenda na vifaa vya ukaguzi lazima vilikuwepo
Kama document za manunuzi anazo na ni halali na zinasomeka kwamba alinunua 2005 na amekaa muda wote huo bila usumbufu wowote, sheria inamlinda hata kama huyo bwana ataenda mahakamani na hiyo hati yake. Muda wa kudai ardhi kisheria mwisho ni miaka 12
Ni vigumu sana kuyaamini haya madai ukichukulia mazingira ya shule yenyewe. Kuna uwezekano kafanyiwa haya na wakora wengine mwalimu akaangushiwa jumba bovu. Any way tusubiri maamuzi ya mahakama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.