Recent content by Mkuu wa mataifa

  1. M

    Hili "somo la kwanza” la Wakatoliki kwenye msiba wa Kardinali Pengo mbona kama lilikuwa limelenga kufikisha ujumbe flani?

    Kujua kwamba atakuwepo pale ilkuwa ni lazima Rais hawezi kwenda mahali bila taarifa. Lazima usalama wa taifa walipatembelea sana hapo kabla hajenda na vifaa vya ukaguzi lazima vilikuwepo
  2. M

    Hili "somo la kwanza” la Wakatoliki kwenye msiba wa Kardinali Pengo mbona kama lilikuwa limelenga kufikisha ujumbe flani?

    Lakini hili neno halina uhusiano na shughuli iliyokuwa inafanyika pale. Ndiyo maana tunashangaa lilingizwaje pale.
  3. M

    TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Bunge lilishavunjwa kwa Tulia siyo spika wa bunge. Inatakiwa isomeke "Aliyekuwa spika"
  4. M

    Hayo makanisa 2,000 na waumini milioni 4 wa Gwajima wako wapi?

    Gwajima kumbuka vizuri. Hotuba iliyopelekea kanisa lako kufungwa ni ile uliyoitoa kwenye mimbari ya kanisa na si le kwa waandishi wa hanari
  5. M

    Padri Kitima: Yanayoharibu taifa nitayasema hata kama wataniita mwanaharakati

    Kwani hapo ni kwenye mimbari ya kanisa?. Nje ya kanisa hakuna shida.
  6. M

    PreGE2025 Serikali yalifutia usajili Kanisa la Askofu Gwajima kwa kuingilia masuala ya siasa kwa nia ya kuichonganisha Serikali na Wananchi

    Barua yenyewe mbona haihadainiwa Barua yenyewe mbona haijasainiwa? Inaweza kuwa ni FAKE
  7. M

    AI(Akili bandia) kwa sasa itakuja kuchukua huduma ya huduma kwa wateja na kuondoa ajira

    TANESCO wana robot mzuri sana kwenye kupokea taarifa za wateja. Tumà tu neno HI kwenye whatsapp na utapata huduma ya kutoa taarifa
  8. M

    Wazee kuna jamaa yangu ametapeliwa kiwanja anaomba msaada afanyaje

    Kama document za manunuzi anazo na ni halali na zinasomeka kwamba alinunua 2005 na amekaa muda wote huo bila usumbufu wowote, sheria inamlinda hata kama huyo bwana ataenda mahakamani na hiyo hati yake. Muda wa kudai ardhi kisheria mwisho ni miaka 12
  9. M

    Masoud Kipanya ameamka na biashara za wachina

    Nadhani mchina anauza mayai bandia
  10. M

    Shahidi: Mwalimu Mkuu anayedaiwa kumlawiti Mwanangu alimwambia 'ukisema nitakupiga nikuvunjevunje'

    Ni vigumu sana kuyaamini haya madai ukichukulia mazingira ya shule yenyewe. Kuna uwezekano kafanyiwa haya na wakora wengine mwalimu akaangushiwa jumba bovu. Any way tusubiri maamuzi ya mahakama
  11. M

    TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

    Hata hajatumikia kabisa nafasi yake mpya. RIP DR.
Back
Top Bottom