hata wakitoa siku tano kabla ya kwenda shule hakuna kufeli, kama ulijua umefaulu na ulikuwa na nia ya kwenda form five ungejiandaa mapema ili wakizitoa uwe tayari
Wanfunzi Wenzangu Tuliofaulu Mwaka Jana, Tusihofie Selections Coz Hizo Sio Matokeo Kwamba Tutafeli, Kama Wakichelewa Kuzitoa Ndivyo Nasi Tutachelewa Kuripoti
TUWE NA SUBIRA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.