Recent content by MKURYA_HALISI

  1. M

    Kuhusu selection za form five 2014

    hata wakitoa siku tano kabla ya kwenda shule hakuna kufeli, kama ulijua umefaulu na ulikuwa na nia ya kwenda form five ungejiandaa mapema ili wakizitoa uwe tayari
  2. M

    Kuhusu selection za form five 2014

    Wanfunzi Wenzangu Tuliofaulu Mwaka Jana, Tusihofie Selections Coz Hizo Sio Matokeo Kwamba Tutafeli, Kama Wakichelewa Kuzitoa Ndivyo Nasi Tutachelewa Kuripoti TUWE NA SUBIRA
  3. M

    wenye div 3 hawaendi kidato cha tano

    we tupe hiyo tovuti ya wizara ya elimu unayodai kwamba ipo
  4. M

    Mwenye taarifa/habari za waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano mwaka 2014.

    wemzangu tuzisubirini japo zitachelewa, ila selections sio mtihani kwamba utafeli, TUSUBIRI
Back
Top Bottom