Recent content by MKUNIRWA

  1. M

    Majibu Mujarab kwa Zitto Kabwe juu ya sababu ya kuongezeka mishahara kati ya Juni 2015 na Juni 2016

    wewe ni mpuuzi mimi mwenyewe nilipandishwa cheo tangu mwezi may mpaka leo sijapewa mshahara wa cheo kipya acha kutoa maneno yanayotia uchungu mwambie avae viatu vya watu wa hali ya chini maana yeye anakula bure na kulala bure ndio maana anabaka haki za watu kwa kisingizio cha uhakiki. Sina mengi...
  2. M

    Waziri Mahiga atoa wito kwa Balozi za nje kumfuata atakapohamia Dodoma

    Eti ''najua wapo baadhi walijenga makao ya kudumu Dar es Salaam ila wapo.(NAMSHANGAA HUYU JAMAA NA WENZAKE AKINA WAZIRI MKUU KWANI AJUI WATAKAO PATA TABU SANA NI WAFANYAKAZI AMBAO WALIOMBA VIMIKOPO WAJENGA DAR ES SALAAM ILI KUJISTILI NA FAMILIA ZAO SASA HUU MKURUPUKO HAWAJUI WATUMISHI...
  3. M

    Je, Mbowe alipataje cheti cha Form Four ilhali hajawahi kufanya na kufaulu mtihani huo?

    Mbona mkurupukaji alisoma half combination? waliokuwa wakisoma half combination walikuwa viraza
  4. M

    KILIO CHA AJIRA: Ukimya wa Rais Magufuli waleta hofu

    Poleni sana ila atakama zikitoka ni chache nyie mpo wengi haziwatoshi maana utakuta nafasi 3 zinashindaniwa na waitimu 1000. Nawashauri mjiunge makundi kwa makundi mtafute shughuri ya kufanya mtajikuta mnatoka tena mstamani ajira tena labda kwa walimu hao hakuna tatizo hasa wale wa Sayansi...
  5. M

    Changamoto zilizopo mbele yetu

    1.Maafa ya tetemeko:- Mpaka waathilika wa tetemeko mkoani Kagera wapo nje hawajapewa msaada wowote cha kushangaza Serikali inapeleka Unga na Vimchele badala ya kutoa msaada wa Cement, Mchanga,Mabati n.k sasa wanatoa vitu ambavyo ndugu zetu hawaviitaji kabisa na wala sio msaada kwao. Nashauri PMJ...
  6. M

    Walimu waliotoa kipigo Mbeya, waonewa huruma na wizara

    Mtoto wangu ruksa kudundwa endapo ataonekana anakosa adabu na ataivyo huyu mwanafunzi namtabilia maisha mabaya uko mbeleni pia nawashangaa wazazi wake kutojitokeza na kusema chochote inaonekana wazazi wake hawawai kusoma ata darasa moja mtoto mkaidi lazima apewe azabu, Waziri katoa adhabu kwa...
  7. M

    Walimu waliotoa kipigo Mbeya, waonewa huruma na wizara

    Naomba mtizame vizuri midomo ya huyo mwanafunzi aliyepigwa mtagundua kitu anachotumia tizameni vizuri
  8. M

    Wabunge wa upinzani wamhofia Dr. Magufuli

    Binafsi simuelewi Mnyika hasa suala LA MAJI HUKU KWETU MSAKUZI KWA LIPELANYA YAANI NAONA HUYU MBUNGE HAFAI KABISA KUSEMA KWELI UCHAGUZI ULIOPITA NILIMPA KULA YANGU LAKINI SASA NAJUTA KASHINDWA KABISA KUSHUGULIKIA SUALA LA MAJI HUKU MSAKUZI DUMU LA MAJI TSH.15000 TUNAPATA SHIDA KWELI. WAZIRI...
  9. M

    Hoja za Mh Tundu Lissu kuhusu mifuko ya jamii na fao la kujitoa

    Pongezi sana Tundu Lissu kwa kuwasaidia wafanyakazi mbumbumbu leo hii mstaafu anasumbuka na mafao yake na nadhani hii Serikali imejaa wachawi haiwezekani pesa za watumishi zitumike kutekeleza miradi ambayo ataivyo hazirudishwi badala yake tunakuja na ahadi za kimzuka bila kushirikisha ubongo...
  10. M

    Tuguswe na athari Hadi za tetemeko la aridhi mkoa ni Kagera.

    Serikali itumie mfuko wa mahafa then sisi tutachangia
  11. M

    Hongera Lwakatare, endelea kupiga kazi Bukoba

    Masikitiko makubwa cha kushangaza juzi Waziri Mkuu alienda kaitaba sijui kufanya nini maana hakuna alichofanya chochote, tulitegemea angetoa tamko lenye matumaini badala yake jana eti anautangazia umma uchangie sijui ni mtu wa namna gani sasa tunangoja leo tuone bos wake ataongea nini...
  12. M

    Tetemeko la Ardhi Bukoba: Rais Uhuru Kenyatta atoa Salaam za Rambirambi na Misaada kwa wahanga

    Nawapa pole waathilika wa tetemeko mkoani Kagera, poleni sana pia nasikitika kuona jinsi Waziri mwenye dhamana alivyokwenda mjini Bukoba na kukutana na waathilika lakini hakuweza kutoa tamko lolote lenye kuleta matumaini kwa watanzania wenzake na walipa kodi badala yake alitoa pole tu...
  13. M

    Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

    Ni jambo lisilowezekana wala hana mawazo hayo
  14. M

    Tetesi: Kuhamia Dodoma: Gharama za uhamisho kulipwa kwa Mke/Mume tu

    Zipo standing order za kiutumishi zinazotoa miongozo ya kumuhamisha Mtumishi kutoka kituo kimoja cha kazi kwenda kingine mfano Mtumishi mwenye Mke/Mme na watoto/tegemezi taratibu zinasema kuwa atalipiwa gharama za kujikimu,mizigo yeye na mwenza wake pamoja na watoto/tegemezi. Lakini cha...
  15. M

    Kulikoni nyongeza ya mshahara kwa mwaka 2016/17

    Jambo la kushangaza na halina ufafanuzi mpaka sasa ni kuona watumishi kwa mishahara ya mwaka huu wa fedha hakukuwa na annual increment vilevile kuna waliokuwa wapepandishwa madalaja na wamepewa barua kabisa lakini hadi leo hawajapewa mishahara yao mipya kwakweli hii sio haki kabisa kwa sababu...
Back
Top Bottom