Recent content by mkulula

  1. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mbona hujaweka namba yako ya simu?
  2. M

    Rav4 kilitime for sale

    bei ya mwisho kwa biashara yako
  3. M

    kiwanja kiko sokoni

    mwisho wa bei hiyo ya kiwanja ni kiasi gani?
  4. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    kwasisi tunaotafuta wa kubadirishana vituotusikate tamaa kwani ipo siku nasi tutapata wa kubadirishana vituo vya kazisasa basi njooTANGAmim nije mor,pwani,Iringa kwetu na kibahakama upo tayari nicheki kwa0768142527
  5. M

    Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

    serikali imekuwa na longolongo nyingi sana.Nanyinyi mnaotafuta ajira msidai kwa nguvu hivyo ndio maana mnakosa nguvu ya kudai haki zenu hata kwa mgomochakufanya ni nini sasa yafaatuwe wavumilivu mpaka ajira mpya zitakapo tangazwa1/04/2014.
  6. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hatuna shida nayo hata wasipotoa ajira mpya TANZANIA
  7. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo KILINDI TANGA mimi nije Mor,kibaha,pwani,IRINGA kwetu,chalinze na bagamoyo.kama upotayari nicheki kwa namba0768142527.
  8. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Watu tuna taka kuhama kwa sababu tunataka kufanyia kazi karibu na nyumbani kwani watu wanashindwa kwenda kwao kipindi cha rikizo kwasababu ya umbari kutoka eneo la kazi vile vile watu wanashindwa kufanya chochote kile kwa sababu ya umbari wa eneo la kazi na nyumbani. ukichukua mkopo na kusema...
  9. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Idara gani mbona hujaweka namba yako ya simu?
  10. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Tanga mimi nije Morogoro,Pwani,Kibaha,Bagamoyo,Iringa,Njombe na Chalinze. Nicheki kwa namba 0768142527 au 0712954840
  11. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mimi ni mwalimu idara elimu ya msingi natafuta mtu wa kubarishana naye kutoka wilaya yeyote ile ndani ya mkoa wa TANGA Aje wilaya ya kilindi mimi niende korogwe, lushoto,muheza, handenh au bumburi kama upo tayari nicheki 0786515525
  12. M

    Ipi huuma sana.? Baba kutoka nje ya ndoa Vs Mama kutoka nje ya ndoa

    vyote vinauma kwa kuwa siyo ustarabu.
  13. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo TANGA wilaya ya KILINDI anayetaka kurudi kwao tanga na mimi nirudi kwetu IRINGA anicheki kwa 0768142527 idara msingi
  14. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo TANGA Mwl; idara msingi Anayetaka kurudi kwao TANGA Namimi nirudi kwetu IRINGA basi anitafute kwa simu 0768142527. Fanyia kazi karibu na nyumbani ili ufanikiwe kujiweka tayari na maisha ya kustaafu.
  15. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo TANGA Anayetaka kurudi kwao TANGA Namimi nirudi kwetu IRINGA basi anitafute kwa simu 0768142527. Fanyia kazi karibu na nyumbani ili ufanikiwe kujiweka tayari na maisha ya kustaafu.
Back
Top Bottom